Kijana wa Shamba na Binti wa Tajiri
Na Neema Kessy · 12 Julai 2026
Sehemu 3 za kwanza ni bure · endelea kwa kujiunga au kununua hadithi hii.
Nyumba ya ghorofa nyeupe. Magari mawili yaliyong’aa kama kioo. Bustani ya maua yenye rangi asizowahi kuziona.
Askari wa lango alimzuia. “Unataka nini hapa?”
“Nimekuja kutafuta kazi. Nasikia Mzee anahitaji kijana wa shamba.”
Askari alimtazama juu chini — viatu vilivyopasuka, nguo za kuchakaa. Akacheka kidogo.
“Subiri hapo. Nitamwita Mzee.”
Zaidi katika Mapenzi
# KIVULI CHA UMASKINI
Alikuwa amemaliza masomo yake katika chuo kikuu nje ya mji na alikuwa amerudi nyumbani kwa likizo ndefu kabla ya kuanza kazi katika kampuni ya baba yake. Alipofika nyumbani, macho yake yalikutana kwa mara ya kwanza na Daniel aliyekuwa akipanda maua bustanini. Daniel alikuwa ameinama akipalilia maua. Uso wake ulikuwa umejaa jasho. Mikono yake ilikuwa imejaa udongo. Lakini tabasamu lake lilikuwa la kweli. Eliana alisimama kwa sekunde kadhaa akimtazama. "Yule ni nani?" aliuliza. "Mfanyakazi mpya wa shambani." "Hajaitwa?"
Mvua ya Novemba
Zainabu hakuwahi kuipenda mvua. Lakini mchana mmoja wa Novemba, akiwa amekwama chini ya paa la duka pale Posta, mvua ilimletea kitu ambacho hakukitegemea maishani mwake…
Barua Toka Zanzibar
Kila mwaka, tarehe kumi na tano Julai, Halima hufungua kasha dogo la mbao lililojaa barua za zamani. Ndani yake kuna mapenzi yaliyotenganishwa na bahari — na barua moja iliyochelewa miaka ishirini…
Ahadi ya Mwezi Mpevu
Chini ya mwezi mpevu, vijana wawili waliapiana ahadi ambayo dunia iliahidi kuivunja. Amina aliozwa kwa tajiri; Faraji akaondoka na ufukara wake. Lakini kila mwezi ulipopevuka, ahadi ile iliwaita…
Maoni
💬
Maoni ni kwa wanachama
Jiunge na Kurasa ili uweze kushiriki mawazo yako na kujadili hadithi pamoja na wasomaji wengine.
Tayari una akaunti? Ingia
Bado hakuna maoni. Kuwa wa kwanza kuandika!